Umekuwa Nami

Baba nashukuru kwa yale yote umenitendea

Baba nashukuru kwa yale yote utatenda 

Umekuwa nami (Baba) Umekuwa nami (Baba) 

Nashukuru (Baba) Nashukuru (Baba) 

Kuna mengi nimeyaona nikadhani nimefika mwisho 

Mengi nimesikia yangenifanya nife moyo 

Lakini Baba ukatembea nami Hujaniacha 

Umekuwa nami (Baba) Umekuwa nami (Baba) 

Nashukuru (Baba) Nashukuru (Baba) 

Umekuwa nami Baba 

Machozi niliyolia Baba umeyapanguza 

Yote nilipoteza Baba umerejesha 

Imani yangu kwako Baba imerejeshwa 

Furaha iliyopotea nimeipata kwako 

Roho mtakatifu umenitia nguvu 

Roho mtakatifu umenitia nguvu 

Umekuwa nami (Baba) Umekuwa nami (Baba) 

Nashukuru (Baba) Nashukuru (Baba) 

Umekuwa nami Baba 

Umekuwa nami (Baba) Umekuwa nami (Baba) 

Nashukuru (Baba) Nashukuru (Baba) 

Umekuwa nami Baba 

Search for song or artist
New Lyrics
Submit Lyrics

Would you like to contribute lyrics? Please submit them here.

Browse artists